152 YESU alipolala kati’ kaburi

Written by

in

152

1. Yesu alipolala kati’ kaburi, giza ilifunika Yesu Mwokozi.

Pambio:
Alifufuka hakika, akavunja nguvu ya mauti, mshindaji ju’ ya mamlaka yote; ni Mflme wa milele na milele, Alikuwa amekufa, na tazama amefufuka!

 

2. Walinzi wa kaburi walikimbia, muhuri na vifungo vilivunjika.

 

3. Mauti na pingo hazikuweza kumshika Yesu Mwokozi.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

HTML Snippets Powered By : XYZScripts.com