17 UKAE nami giza inafika!

Written by

in

17

1. UKAE name, giza imefika! Usiniache, Mungu, nakuomba! Unayejuwa udhaifu wangu’ Nategemea wewe, ‘kae nami

 

2. Maisha yangu ni mafupi sana, Uzuri wa dunia utakwisha. Kuna machozi, kufa huku chini, wewe Mwokozi wangu, ‘kae name!

 

4. Nakuhitaji wewe siku zote, Unayeweza sana kunilinda. Wewe shujaa wa kushinda wote, katika hali zote ‘kae.

 

5. Unionyeshe msalaba wako, Nione nuru yako kati’ giza! Na nikiishi au nitakufa, wewe, Mwokozi wangu, ‘kae name!

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

HTML Snippets Powered By : XYZScripts.com