279. UPENDO wake Mungu unatuunganisha

Written by

in

279

1. Upendo wake Mungu unatuunganisha. ‘Shirika wa watakatifu – uheri wa mbinguni.

 

2. Katika sala zetu twakaribia Baba kwa tumaini, ujasiri na kwa imani moja.

 

3.Upendo wa kikristo ha’vunji urafiki. Twalia naye kwa uchungu, furaha twa’shiriki.

 

4. Tunaachana huku kwa sikitiko sana. Kwa shangwe tena kwake Mungu twaweza kuonana.

Fohn Faweet
Blessed be the tie that binds, R.S. 946; R.H. 713

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

HTML Snippets Powered By : XYZScripts.com