1
4 USIKU kabla yakuteswa
1. Kabla ya kuteswa, Yesu Alikusanya wanafunzi wake; Alifahamu kwamba saa yake ya kutolewa ilikaribia.
2. Kwa roho aliona gethesemane, Meteso yake na huzuni...
75 NILIE msafiri
75
1.Niliye msafiri, mgeni duniani; sioni kwangu hapa, ni huko ju’ mbinguni. Ninatamani nami kukaa siku zote pamoja naye Baba katika utukufu.
Pambio:
Kwangu...
140 UKICHUKULIWA na mashaka yako
1. Ukichukuliwa na mashaka yako na kuona hufu kwamba utakwama, uhesabu mibaraka yake Mungu, na utashangaa kwa rehema yake.
Pambio:Uhesabu mibaraka yote Mungu aliyoyakubariki!...