Tag: roho mtakatifu

  • 291. MIMI mwenye hatiya nilikombolewa

    291. MIMI mwenye hatiya nilikombolewa

     291

    1. Mimi mwenye hatia nilikombolewa, Mwokozi alipojitoa. Dhambi zangu na zako alizichukua, kwa damu aliniokoa.

    Pambio:
    Dhambi zimetundikwa msalabani alipojitoa, Mwokozi. Alidharauliwa na kukataliwa atupatanishe na Mungu.

     

    2. Yesu mwenye upole na mwenye upendo ananitakasa rohoni. Nimepata uhuru kwa Yesu Mwokozi, alikufa msalabani.

     

    3.Namwambata Mwokozi, sitaki kumwacha, kwa kuwa alinifilia. Nakusifu, e’ Yesu, unayenipenda, daima nakushangilia.

    Carrie E. Breck, 1855-1934
    There was One who was willing to die in my stead, R.S. 737

HTML Snippets Powered By : XYZScripts.com