Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

308 Naona maajabu leo

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

1. Naona maajabu leo (yatoka) yatoka Bwana Mungu wetu (wa kweli) Katika maahadi yake,

(Ishara) Ishara zinaonekana.

(Naona) naona majabu kubwa,

(Napenda) napenda kushukuru Bwana.

(Kwa nini) kwa kuwa anapenda mimi,

(Ishara) ishara kubwa kutoka Mungu.

 

2. Kati dunia yote hii (ni mambo) ni mambo mengi ya ajabu (ni Yesu) ni Yesu anapita wote (kufanya) kufanya maajabu mengi. 3.Ni kama tetemeko kubwa (itembe’ ) itembeayo ndani yangu (nikiku’) ninikumbuka Yesu Kristo (ya kuwa) angali anipenda mimi.

 

4. Viziwi na viwete vyote (na bubu), vipofu na wakoma wote (na wafu), na wafu walifufuliwa (kwa jina) kwa jina lake Yesu Kristo.

 

5. Mapendo yake Mungu kwangu (makubwa), yananibembeleza vema (upendo), upendo wake Yesu Kristo (ni dawa), ni dawa manukato kwangu.

(Sauti), sauti ya Mungu yasema:

(Ni huyu), ni huyu Mwanangu mpendwa

(Napenda), napendezwa na kazi yake,

(Sikia), sikieni maneno yake.

TAMBI Eae Munaongo, 1949

No comments yet.

Leave a Comment