4 USIKU kabla yakuteswa

Written by

in

1. Kabla ya kuteswa, Yesu Alikusanya wanafunzi wake; Alifahamu kwamba saa yake ya kutolewa ilikaribia.

 

2. Kwa roho aliona gethesemane, Meteso yake na huzuni nyingi;  Zaidi alihofu saa ile, ata’poachwa hata naye Mungu.

 

3. Alitamani saa ya pasaka pamoja na wapendwa wake huku. Katika pendo lake kubwa sana Aliyashinda majaribu yote.

 

4. Akautwa’ mkate, aka’mega, Twaeni, mle, hu’ ni mwili wangu!  Na akawapa wanafunzi wake. Wa heri kila mtu aminiye.

 

5. Ba’daye akawapa na kikombe, Na akasema: Nyweni nyote hiki! Ni damu yangu inayomwagika kwa ondoleo la makosa yote.


Comments

One response to “4 USIKU kabla yakuteswa”

  1. asie butezi Avatar
    asie butezi

    I know this song

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

HTML Snippets Powered By : XYZScripts.com