Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

265. TU wasafiri

265 1. Tu wasafiri, twakaribia nchi ya mbingu kwa Mungu baba. Tusiogope bonde la kufa, Yesu atuongoza kwake! Pambio: :/: Tu wasafiri:/: tutakutana nyumbani mwa...

266. AYALA naye anayo shauku

 266 1. Ayala naye anayo shauku ya maji ya kisima; na vivyo hivyo ninaona kiu kwa Mungu wa uzima. Pambio: Kama ayala aonavyo shauku mito ya maji safi, na vivyo...

267. BABA nakuomba leo na mapema

267 1. Baba, nakuomba leo na mapema: Niongoze pote kwa mapito meme! Pambio: Baba yangu, sikiliza ombi langu leo! Baba, nakusifu! Unanisikia. 2. Nistahimilipo kazi...

268. E’YESU ingia rohoni kabisa

268 1. E’ Yesu, ingia rohoni kabisa, uniweke huru nakunitakasa, nipate kushirikiana na wewe katika mateso na raha daima! Pambio: :/: E’ Bwana, nijaze...

269. KATIKA bonde na milima

269 1. Katika bonde na milima, kwa mataifa mahali pote, peleka neno la wokovu! Msifu Yesu sana! Pambio Msifu Bwana, msifu Bwana! Na tangazeni neno lake, ‘sifuni...

270. SIMAMA fanya vita pamoja na Mfalme

270 1. Simama, fanya vita pamoja na Mfalme! Bendera tuishike iliyo ya Mwokozi! Mwenyezi huongoza majeshi yake huku. Adui wote pia washindwa mbele yake.   2....

271 UWATAFUTE wenzako wapoteao mbali

271 1. Uwatafute wenzako wapoteao mbali! Yesu mwenyewe apenda kuwaokoa wote. Pambio Uwatafute wenzako wapoteao mbali! Pasha habari ya Yesu na ya wokovu wake!   2.Uwatafute...

272. NANI ni wa Yesu

271 1. Nani ni wa Yesu? Amtumikie! Atafute watu na kuwahubiri! Nani anataka kujitoa leo, kufuata Yesu katika mateso? Pambio Nani ni wa Yesu? Amtumikie! Nani atakaye...

273. NI uheri kumwamini Mungu

273 1. Ni uheri kumwamini Mungu kama Ibrahimu wa zamani. Hakutiwa shaka kwa uchungu, ila alitii kwa imani. Ni uheri kuendea sawa katika mapito ya sheria. Ukijaribiwa...

274. NINAFURAHIYA kisima daima

274 1. Ninafurahia kisima daima, kisima cha damu ya Yesu. Katika upendo nalindwa salama, nasifu Mwokozi mpendwa. Pambio Kisima cha maji kinabubujika, kinaniletea...

275 E’MUNGU mwenye haki

275 1. E’ Mungu mwenye haki, uniongoze huku katika mambo yote yanayokupendeza! Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka yananitia tetemeko mpaka kufa....

276. MATENDO ya Mungu yapita fahamu

276 1.  Matendo ya Mungu yapita ‘fahamu, ni nani ayaona wazi? Lakini najua mapito ya Mungu kwa mimi yafaa halisi.   2.Njiani sijui maana ya yote, lakini...

277. NITAOGOPA nini gizani duniani

277 1. Nitaogopa nini gizani duniani? Sikuachiwa peke’ mbali ya tumaini! Mwokozi yu karibu, asiyebadilika. :/: Hutunza ndege ndogo na mimi kadhalika:/: Pambio: Namshukuru...

278. NINAINUA macho yangu ka Mungu

278 1. Ninainua macho yangu kwa Mungu aketiye juu, aliye msaada wangu, njiani pangu nuru kuu. Aliyefanya yote, maombi huyasikia. Katika njia zangu zote atanilinda...

279. UPENDO wake Mungu unatuunganisha

279 1. Upendo wake Mungu unatuunganisha. ‘Shirika wa watakatifu – uheri wa mbinguni.   2. Katika sala zetu twakaribia Baba kwa tumaini, ujasiri...

280. JINA lake Yesu linadumu

280 1. Jina lake Yesu Kristo linadumu siku zote; jina hili la milele haliwezi kunyauka; linafaa watu wote, na wazee na vijana; linaweza kuongoza kila mtu kwake Mungu....

281. YOTE ninayo niliyapokea kwa wema wake

 281 1. Yote ninayo niliyapokea kwa wema wake unaonea. Namsifu Yesu, namtegemea, aliniokoa kwa neema. Pambio: Niliyekuwa nimetoroka, kwa pendo lake nimeokoka....

282 UKIONA kiu sana ujalivu

 282 1. Ukiona kiu sana ujalivu wa Mwokozi, roho yake safi pia, liamini neno la babako na atakujazi, nawe utashangilia. Pambio: Atakujaliza hata utashiba. Bwana...

283. NIMEYASIKIA mengi aliyoyafanya Yesu

283 1. Nimeyasikia mengi aliyoyafanya Yesu katika maisha yake huku chini: Pote alitenda mema, alisaidia wote. Kwa furaha ninaimba: “Yesu yeye yule leo!”...

284. USIMTAFUTE Yesu kati’wafu kaburini

284 1. Usimtafute Yesu kati’ wafu kaburini! Yu mzima, tumsifu, hakushindwa na kuzimu! :/: Yesu hai, Yesu hai, mshindaji wa mauti! :/:   2. Maadui walifunga...

285. NENO la Mungu ndani ya Biblia

285 1. Neno la Mungu ndani ya Biblia limetolewa na Mwenyezi Mungu. Biblia yetu inatuambia: Njoo kwa Yesu, Mkombozi wetu! Pambio: Neno la Mungu tulilolipewa, njia...

286. YESU ulikaribishwa arusini

286 1. Yesu, ulikaribishwa arusini huko Kana; hapo ikadhihirishwa nguvu yako kwa ishara.   2. Leo tunakuhitaji, wabariki ndugu hawa: Bwana na bibi-arusi! Ndoa...

287. TUNAMTIA mikononi mwako

287 1. Tunamtia mikononi mwako mtoto huyu, umtunze sana, na kila siku kwa neema yako umbariki, Bwana Yesu Kristo!   2. Ulimwengu kuna majaribu mahali pote,...

288. MUNGU wetu

288 1. Mungu wetu, utulinde na utubariki sote! Bwana, uturehemie, tutolee nuru pote! Utuangazie uso, tupe na amani yako! Mungu Baba, Roho, Mwana, tunakushukuru sana!...

289. NINATAMANI kwenda mbingu

289 1. Ninatamani kwenda mbingu nchi yangu niliyopewa na Mungu kwa imani. Ni shangwe bora kuona mji ule; kwa kwenda kule sitaogopa kitu. Pambio: E’ Baba yangu,...